Salama jabir biography of michael




  • Salama jabir biography of michael
  • Salama jabir biography of michael

  • Salama jabir biography of michael jackson
  • Salama jabir biography of michael w
  • Biography of michael jackson
  • Salama jabir biography of michael jordan
  • Salama jabir biography of michael w.

    Salama Jabir

    Salama Zalhata Jabir (alizaliwa 1 Oktoba1984) ni mtangazaji wa vipindi vya televisheni kutoka Tanzania[1] — hasa katika televisheni ya Afrika Mashariki (EATV).[2]

    Maisha

    [hariri | hariri chanzo]

    Alizaliwa kwenye familia ya watototisa[3].

    Hapo awali, aliolewa na kuachwa,kisha alipata kuwa mtangazaji wa kipindi cha MkasiTv, kilichobuniwa na yeye na A.Y. Kipindi kilikuwa kinarushwa kupitia EATV — ambapo ndani yake wanahoji watu mbalimbali maarufu hadi hapo baadaye walipoamua kukiweka katika idhaa ya YouTube tarehe 1 Novemba 2011[4].

    Salama pia ni jaji katika mashindano ya kutafuta vipaji vya wanamuziki yaitwayo Bongo Star Search akionekana kuwa ni jaji asemaye ukweli kwa wanaosailiwa[5].

    Mafanikio

    [hariri | hariri chanzo]

    Salama Jabir amepata mafanikio yafuatayo katika tasnia ya utangazaji na uanzishaji wa vipindi vya televisheni kilichoongeza ubora wa muziki wa Bongo Flava kwa upande wa utayarishaji wa vide